16 Na watu kutoka katika makabila yote ya Israeli waliokuwa wameazimia moyoni mwao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli wakawafuata mpaka Yerusalemu ili kumtolea dhabihu Yehova Mungu wa mababu zao.+
25 Na kutaniko lote la Yuda, makuhani, Walawi, kutaniko lote lililotoka Israeli,+ na wakaaji wageni+ waliotoka katika nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda wakaendelea kushangilia.