Kumbukumbu la Torati 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mkimtafuta Yehova Mungu wenu mkiwa huko, hakika mtampata,+ naam, mkiutafuta ushauri wake kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote.+ 2 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ aliyekuwa na umri wa miaka 16, wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 26:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye aliendelea kumtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemfundisha kumwogopa Mungu wa kweli. Wakati alipokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+
29 “Mkimtafuta Yehova Mungu wenu mkiwa huko, hakika mtampata,+ naam, mkiutafuta ushauri wake kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote.+
26 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ aliyekuwa na umri wa miaka 16, wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+
5 Naye aliendelea kumtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemfundisha kumwogopa Mungu wa kweli. Wakati alipokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+