Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe, ikiwa utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea,+ kwa utimilifu wa moyo+ na kwa unyoofu,+ kwa kutenda mambo yote niliyokuamuru,+ nawe ukitii masharti yangu na sheria* zangu,+ 5 ndipo nitakapoimarisha kiti chako cha ufalme juu ya Israeli milele, kama nilivyomwahidi Daudi baba yako, kwa kusema, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • Zaburi 132:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana wako wakilishika agano langu

      Na vikumbusho vyangu ninavyowafundisha,+

      Wana wao pia

      Wataketi kwenye kiti chako cha ufalme milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki