7 Na watu wote waliobaki, yaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ ambao hawakuwa sehemu ya Waisraeli,+ 8 wazao wao waliobaki nchini—wale ambao Waisraeli hawakuwaangamiza+—Sulemani aliwaandikisha ili wafanye kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+