Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari.

  • Zaburi 110:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova atakuwa kwenye mkono wako wa kulia;+

      Atawaponda wafalme katika siku ya hasira yake.+

       6 Atatekeleza hukumu dhidi ya* mataifa;+

      Atajaza maiti nchini.+

      Atamponda kiongozi wa* nchi kubwa sana.*

  • Isaya 37:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki