Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari. Zaburi 110:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova atakuwa kwenye mkono wako wa kulia;+Atawaponda wafalme katika siku ya hasira yake.+ 6 Atatekeleza hukumu dhidi ya* mataifa;+Atajaza maiti nchini.+ Atamponda kiongozi wa* nchi kubwa sana.* Isaya 37:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari.
5 Yehova atakuwa kwenye mkono wako wa kulia;+Atawaponda wafalme katika siku ya hasira yake.+ 6 Atatekeleza hukumu dhidi ya* mataifa;+Atajaza maiti nchini.+ Atamponda kiongozi wa* nchi kubwa sana.*
36 Na malaika wa Yehova akaenda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru. Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+