2 Samweli 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Gadi akaenda kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Panda ukamjengee Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi.”+ 1 Mambo ya Nyakati 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Daudi akamwambia Ornani: “Niuzie* uwanja wa kupuria ili nimjengee Yehova madhabahu kwenye uwanja huo. Niuzie kwa bei kamili, ili ugonjwa hatari ambao umewakumba watu ukomeshwe.”+
18 Basi Gadi akaenda kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Panda ukamjengee Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi.”+
22 Daudi akamwambia Ornani: “Niuzie* uwanja wa kupuria ili nimjengee Yehova madhabahu kwenye uwanja huo. Niuzie kwa bei kamili, ili ugonjwa hatari ambao umewakumba watu ukomeshwe.”+