-
1 Wafalme 10:22, 23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja baada ya kila miaka mitatu, kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejazwa dhahabu na fedha, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi.
23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri+ mwingi zaidi na hekima+ kuliko wafalme wengine wote duniani.
-