-
2 Mambo ya Nyakati 21:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu. 17 Basi wakaivamia Yuda, wakaingia humo kwa nguvu na kuchukua mali zote zilizokuwa katika nyumba ya* mfalme,+ na pia wanawe na wake zake; Yehoahazi,*+ mwanawe wa mwisho, ndiye mwana pekee aliyebaki pamoja naye.
-