-
2 Wafalme 8:24-26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kisha Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na Ahazia+ mwana wake akawa mfalme baada yake.
25 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Mfalme Yehoramu wa Yuda akawa mfalme.+ 26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia,+ mjukuu wa* Mfalme Omri+ wa Israeli.
-