Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Daudi akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na baada ya mambo hayo yote, Yehova akampiga kwa ugonjwa wa matumbo usioweza kupona.+ 19 Wakati fulani baadaye, baada ya miaka miwili kamili kupita, matumbo yake yalitoka nje kwa sababu ya ugonjwa huo, naye akafa alipokuwa akiteseka sana kwa sababu ya ugonjwa huo; na watu wake hawakuwasha moto kwa ajili yake kama ule uliowashwa kwa ajili ya mababu zake.+ 20 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 8 huko Yerusalemu. Hakuna mtu yeyote aliyesikitishwa na kifo chake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki