1 Mambo ya Nyakati 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kulikuwa na walinzi wakuu* wanne waliowekwa katika wadhifa huo wa kuaminiwa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba* na hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+ 1 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hivi ndivyo vilivyokuwa vikundi vya walinzi:+ kutoka kwa Wakora, Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu. 1 Mambo ya Nyakati 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo walipiga kura,+ mdogo sawa na mkubwa kulingana na koo zao,* kwa ajili ya malango mbalimbali.
26 Kulikuwa na walinzi wakuu* wanne waliowekwa katika wadhifa huo wa kuaminiwa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba* na hazina za nyumba ya Mungu wa kweli.+
26 Hivi ndivyo vilivyokuwa vikundi vya walinzi:+ kutoka kwa Wakora, Meshelemia+ mwana wa Kore wa wana wa Asafu.
13 Kwa hiyo walipiga kura,+ mdogo sawa na mkubwa kulingana na koo zao,* kwa ajili ya malango mbalimbali.