2 “Wahesabu+ Waisraeli wote, kila mmoja wao kulingana na familia yake, kulingana na ukoo wake, orodhesha majina ya wanaume wote. 3 Wewe na Haruni mnapaswa kuwaandikisha watu wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi+ wanaoweza kutumikia katika jeshi la Israeli, kulingana na vikosi vyao.