Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, mara moja aliikusanya nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini,+ mashujaa 180,000 waliozoezwa,* ili wapigane na Waisraeli na kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Abiya akaenda vitani akiwa na jeshi lenye mashujaa hodari 400,000 waliozoezwa.*+ Na Yeroboamu akajipanga kivita ili kupigana naye akiwa na wanaume 800,000, mashujaa hodari waliozoezwa.*

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Asa alikuwa na jeshi la wanaume 300,000 waliokuwa na ngao kubwa na mikuki. Na kutoka Benjamini kulikuwa na mashujaa hodari 280,000 waliobeba ngao ndogo* na kujihami kwa pinde.*+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Walipangwa kulingana na koo zao:* mkuu wa maelfu katika ukoo wa Yuda alikuwa mkuu Adna, naye alikuwa na mashujaa hodari 300,000.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Amazia akawakusanya pamoja watu wa Yuda na kuwaagiza wasimame kulingana na koo zao,* chini ya wakuu wa maelfu na chini ya wakuu wa mamia kwa ajili ya watu wote wa Yuda na Benjamini.+ Akawaandikisha waliokuwa na umri wa miaka 20 na zaidi,+ akapata kwamba walikuwa mashujaa 300,000 waliozoezwa* kwa ajili ya utumishi wa kijeshi, walioweza kutumia mkuki na ngao kubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki