Kutoka 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Haruni+ atafukiza uvumba wenye manukato+ juu ya madhabahu hiyo+ kila asubuhi anaposhughulikia taa.+ 1 Mambo ya Nyakati 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni alitengwa kando daima+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wanawe, ili watoe dhabihu mbele za Yehova, wamhudumie, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+
7 “Haruni+ atafukiza uvumba wenye manukato+ juu ya madhabahu hiyo+ kila asubuhi anaposhughulikia taa.+
13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni alitengwa kando daima+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wanawe, ili watoe dhabihu mbele za Yehova, wamhudumie, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+