Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda, Waamoni wakapigana na Waisraeli.+

  • 2 Samweli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baada ya muda Waamoni wakaona kuwa wananuka mbele ya Daudi, kwa hiyo wakawatuma wajumbe waende kuwakodi Wasiria wa Beth-rehobu + na Wasiria wa Soba,+ wanajeshi 20,000 wanaotembea kwa miguu; na mfalme wa Maaka+ akiwa na wanaume 1,000; na kutoka Ishtobu,* wanaume 12,000.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Baadaye Wamoabu+ na Waamoni,+ pamoja na baadhi ya Waamonimu,* wakaja kupigana vita na Yehoshafati.

  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi:

      “Je, Israeli hana wana:

      Je, hana mrithi?

      Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+

      Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki