25Isitoshe, Daudi na wakuu wa vikundi vya utumishi waliwatenga baadhi ya wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni+ ili watoe unabii kwa kutumia vinubi, vinanda,+ na matoazi.+ Hii ndiyo orodha ya wanaume waliowekwa rasmi kwa ajili ya utumishi huo:
6 Hao wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao wakiwa waimbaji katika nyumba ya Yehova, wakitumia matoazi, vinanda, na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.
Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
11 Mfalme alitumia mbao hizo za misandali kutengeneza ngazi za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya* mfalme,+ na pia vinubi na vinanda vya waimbaji.+ Mbao kama hizo hazikuwa zimewahi kuonekana katika nchi ya Yuda.