Ezra 5:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati huo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto* na Shethar-bozenai na wenzao wakaja na kuwauliza: “Ni nani aliyewaagiza mjenge nyumba hii na kukamilisha nguzo hizi?”* 4 Pia, wakawauliza: “Wanaume wanaojenga jengo hili ni akina nani?”
3 Wakati huo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto* na Shethar-bozenai na wenzao wakaja na kuwauliza: “Ni nani aliyewaagiza mjenge nyumba hii na kukamilisha nguzo hizi?”* 4 Pia, wakawauliza: “Wanaume wanaojenga jengo hili ni akina nani?”