Ezra 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kitu kingine chochote unachohitaji kutoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wako, utakitoa kutoka katika hazina ya mfalme.+ Isaya 49:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako. Watakuinamia kifudifudi+Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+
20 Na kitu kingine chochote unachohitaji kutoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wako, utakitoa kutoka katika hazina ya mfalme.+
23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako. Watakuinamia kifudifudi+Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+