Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 6:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi, Mfalme Koreshi alitoa agizo hili kuhusu nyumba ya Mungu huko Yerusalemu:+ ‘Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali watakapotolea dhabihu, na misingi yake inapaswa kuwekwa; kimo chake kiwe mikono 60,* upana wake mikono 60,+ 4 na iwe na safu tatu za mawe makubwa yaliyobingirishwa na kuwekwa mahali pake na safu moja ya mbao;+ na gharama zote zilipwe kutoka katika nyumba ya mfalme.+

  • Ezra 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia, ninatoa agizo kuhusu jambo mnalopaswa kuwafanyia wazee hao wa Wayahudi kwa ajili ya kujenga upya nyumba hiyo ya Mungu: Gharama zao zote zitalipwa bila kuchelewa kutoka katika hazina ya mfalme,+ kodi inayokusanywa katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto, ili ujenzi uendelee bila kukatizwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki