2 Basi kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume, wanawake, na wote walioweza kusikiliza na kuelewa, katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+
26 Hao walitumikia katika siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua+ mwana wa Yozadaki na katika siku za gavana Nehemia na Ezra+ aliyekuwa kuhani na mwandishi.*