Kutoka 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu* kwa Farao, na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+ Kutoka 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.
7 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu* kwa Farao, na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+
28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.