-
1 Mambo ya Nyakati 6:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Hao ndio watu ambao Daudi aliwaweka ili waongoze uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kuletwa likae* humo.+ 32 Ndio waliokuwa na jukumu la kusimamia uimbaji katika hema la ibada, yaani, hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ nao walitekeleza utumishi wao kulingana na maagizo waliyopewa.+
-