17 Basi wakaliingiza ndani Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo.+ Kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.+
16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+