-
Ezra 9:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Wakati wa toleo la nafaka la jioni,+ niliinuka kutoka mahali nilipokuwa nimeketi kwa aibu, vazi langu na joho langu lisilo na mikono likiwa limeraruka, nikapiga magoti na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu. 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+
-