1 Mambo ya Nyakati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao. 1 Mambo ya Nyakati 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Walinzi wa malango+ walikuwa Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani, na ndugu yao Shalumu alikuwa kiongozi, Nehemia 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+ Nehemia 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na walinzi wa malango walikuwa Akubu, Talmoni,+ na ndugu zao waliolinda malango walikuwa 172.
2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.
17 Walinzi wa malango+ walikuwa Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani, na ndugu yao Shalumu alikuwa kiongozi,
3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+