27 Lakini tangu siku hiyo, Yoshua akawafanya kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova mahali ambapo Mungu angechagua.+
17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido kiongozi wa Kasifia. Nikawaagiza wamwambie Ido na ndugu zake, watumishi wa hekaluni* waliokuwa huko Kasifia, watuletee wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.