57 Wana wa watumishi wa Sulemani:+ wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Perida, 58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli, 59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokereth-hazebaimu, wana wa Amoni. 60 Watumishi wote wa hekaluni+ na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.