55 Wana wa watumishi wa Sulemani: wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda,+ 56 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli, 57 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokereth-hazebaimu, wana wa Ami.
58 Watumishi wote wa hekaluni na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.