Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Hivi ndivyo vitu utakavyotoa kwenye madhabahu: kila siku, kwa kuendelea,+ utatoa wanakondoo dume wawili wenye umri wa mwaka mmoja.

  • Hesabu 29:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na siku ya 15 ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu, nanyi mnapaswa kumfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+ 13 Mtatoa ng’ombe dume wachanga 13, kondoo dume 2, na wanakondoo dume 14 wote wa umri wa mwaka mmoja kuwa dhabihu inayochomwa+ kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova; wanyama wote hawapaswi kuwa na kasoro.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki