-
Hesabu 29:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “‘Na siku ya 15 ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu, nanyi mnapaswa kumfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+ 13 Mtatoa ng’ombe dume wachanga 13, kondoo dume 2, na wanakondoo dume 14 wote wa umri wa mwaka mmoja kuwa dhabihu inayochomwa+ kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova; wanyama wote hawapaswi kuwa na kasoro.+
-