6 Kwa maana baba zetu wamekosa uaminifu nao wametenda maovu machoni pa Yehova Mungu wetu.+ Walimwacha na kugeuza nyuso zao mbali na hema la ibada la Yehova na kumgeuzia mgongo.+
6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+