Nehemia 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+ Yohana 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Huko Yerusalemu kwenye Lango la Kondoo+ kulikuwa na dimbwi lililoitwa kwa Kiebrania Bethzatha, lenye safu tano za nguzo.
3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+
2 Huko Yerusalemu kwenye Lango la Kondoo+ kulikuwa na dimbwi lililoitwa kwa Kiebrania Bethzatha, lenye safu tano za nguzo.