Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hizo ndizo sheria ambazo Yehova alimpa Musa kwenye Mlima Sinai ili awape Waisraeli.+

  • Hesabu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hizo ndizo amri na sheria ambazo* Yehova aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani, huko Yeriko.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Haya ndiyo masharti na sheria ambazo mnapaswa kuwa waangalifu kutekeleza sikuzote mtakazokuwa hai katika nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu atawapa mwimiliki.

  • Nehemia 9:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu, na mababu zetu hawajashika Sheria yako wala kusikiliza amri zako wala vikumbusho ulivyowapa* ili kuwaonya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki