1 Mambo ya Nyakati 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyejenga Ono+ na Lodi+ pamoja na miji yake), Nehemia 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na watu wa Benjamini waliishi Geba,+ Mikmashi, Aiya, Betheli+ na miji yake, Nehemia 11:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Lodi, na Ono,+ bonde la mafundi.
12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyejenga Ono+ na Lodi+ pamoja na miji yake),