1 Mambo ya Nyakati 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyejenga Ono+ na Lodi+ pamoja na miji yake), Ezra 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ Ezra 2:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 wana wa Lodi, Hadidi na Ono, 725;
12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyejenga Ono+ na Lodi+ pamoja na miji yake),
2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+