- 
	                        
            
            Nehemia 7:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 Hawa ndio watu wa mkoa* waliopanda kutoka utekwani huko uhamishoni, ambao Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ 7 wale waliokuja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Misperethi, Bigvai, Nehumu, na Baana.
Idadi ya wanaume Waisraeli ilitia ndani:+
 
 -