-
Ezra 2:2-35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 wale waliokuja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigvai, Rehumu, na Baana.
Idadi ya wanaume Waisraeli ilitia ndani:+ 3 wana wa Paroshi, 2,172; 4 wana wa Shefatia, 372; 5 wana wa Ara,+ 775; 6 wana wa Pahath-moabu,+ wa wana wa Yeshua na Yoabu, 2,812; 7 wana wa Elamu,+ 1,254; 8 wana wa Zatu,+ 945; 9 wana wa Zakai, 760; 10 wana wa Bani, 642; 11 wana wa Bebai, 623; 12 wana wa Azgadi, 1,222; 13 wana wa Adonikamu, 666; 14 wana wa Bigvai, 2,056; 15 wana wa Adini, 454; 16 wana wa Ateri, wa Hezekia, 98; 17 wana wa Besai, 323; 18 wana wa Yora, 112; 19 wana wa Hashumu,+ 223; 20 wana wa Gibari, 95; 21 wana wa Bethlehemu, 123; 22 wanaume wa Netofa, 56; 23 wanaume wa Anathothi,+ 128; 24 wana wa Azmavethi, 42; 25 wana wa Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi, 743; 26 wana wa Rama+ na Geba,+ 621; 27 wanaume wa Mikmasi, 122; 28 wanaume wa Betheli na Ai,+ 223; 29 wana wa Nebo,+ 52; 30 wana wa Magbishi, 156; 31 wana wa Elamu mwingine, 1,254; 32 wana wa Harimu, 320; 33 wana wa Lodi, Hadidi na Ono, 725; 34 wana wa Yeriko, 345; 35 wana wa Senaa, 3,630.
-