-
Nehemia 7:8-38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 wana wa Paroshi, 2,172; 9 wana wa Shefatia, 372; 10 wana wa Ara,+ 652; 11 wana wa Pahath-moabu,+ wa wana wa Yeshua na Yoabu,+ 2,818; 12 wana wa Elamu,+ 1,254; 13 wana wa Zatu, 845; 14 wana wa Zakai, 760; 15 wana wa Binui, 648; 16 wana wa Bebai, 628; 17 wana wa Azgadi, 2,322; 18 wana wa Adonikamu, 667; 19 wana wa Bigvai, 2,067; 20 wana wa Adini, 655; 21 wana wa Ateri, wa Hezekia, 98; 22 wana wa Hashumu, 328; 23 wana wa Besai, 324; 24 wana wa Harifu, 112; 25 wana wa Gibeoni,+ 95; 26 wanaume wa Bethlehemu na Netofa, 188; 27 wanaume wa Anathothi,+ 128; 28 wanaume wa Beth-azmavethi, 42; 29 wanaume wa Kiriath-yearimu,+ Kefira, na Beerothi,+ 743; 30 wanaume wa Rama na Geba,+ 621; 31 wanaume wa Mikmasi,+ 122; 32 wanaume wa Betheli+ na Ai,+ 123; 33 wanaume wa ile Nebo nyingine, 52; 34 wana wa Elamu mwingine, 1,254; 35 wana wa Harimu, 320; 36 wana wa Yeriko, 345; 37 wana wa Lodi, Hadidi, na Ono,+ 721; 38 wana wa Senaa, 3,930.
-