2 Basi mfalme akawaita Wagibeoni+ na kuongea nao. (Sasa, Wagibeoni hawakuwa Waisraeli bali walikuwa Waamori+ waliokuwa wamebaki, na Waisraeli walikuwa wameapa kwamba hawatawaua,+ lakini Sauli akichochewa na bidii yake kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda alitaka kuwaangamiza.)