Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hakuna jiji lolote lililofanya amani na Waisraeli isipokuwa Wahivi waliokaa Gibeoni.+ Waisraeli walipigana na majiji mengine yote na kuyashinda.+

  • 2 Samweli 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akawaita Wagibeoni+ na kuongea nao. (Sasa, Wagibeoni hawakuwa Waisraeli bali walikuwa Waamori+ waliokuwa wamebaki, na Waisraeli walikuwa wameapa kwamba hawatawaua,+ lakini Sauli akichochewa na bidii yake kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda alitaka kuwaangamiza.)

  • Nehemia 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sehemu iliyofuata ilirekebishwa na Melatia Mgibeoni+ na Yadoni Mmeronothi, watu wa Gibeoni na Mispa,+ waliokuwa chini ya mamlaka ya* gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki