17 Siku hizo wakuu+ wa Yuda walikuwa wakimtumia Tobia barua nyingi, naye alikuwa akiwajibu. 18 Watu wengi huko Yuda walikuwa wameapa kumuunga mkono, kwa sababu alikuwa amemwoa binti ya Shekania mwana wa Ara,+ na Yehohanani mwanawe alikuwa amemwoa binti ya Meshulamu+ mwana wa Berekia.