Nehemia 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo nikatafakari mambo hayo moyoni mwangu, kisha nikawashutumu wakuu na watawala wasaidizi na kuwaambia: “Kila mmoja wenu anamtoza riba* ndugu yake mwenyewe.”+ Pia, nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.
7 Kwa hiyo nikatafakari mambo hayo moyoni mwangu, kisha nikawashutumu wakuu na watawala wasaidizi na kuwaambia: “Kila mmoja wenu anamtoza riba* ndugu yake mwenyewe.”+ Pia, nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.