Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+ Kumbukumbu la Torati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Usimtoze riba ndugu yako,+ iwe ni riba ya mkopo wa pesa, chakula, au kitu chochote kinachoweza kutozwa riba. Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+ Ezekieli 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndani yako wanapokea rushwa ili kumwaga damu.+ Unakopesha kwa riba+ au kwa faida,* nawe unachukua pesa kwa nguvu kutoka kwa majirani zako.+ Naam, umenisahau kabisa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+
19 “Usimtoze riba ndugu yako,+ iwe ni riba ya mkopo wa pesa, chakula, au kitu chochote kinachoweza kutozwa riba.
5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+
12 Ndani yako wanapokea rushwa ili kumwaga damu.+ Unakopesha kwa riba+ au kwa faida,* nawe unachukua pesa kwa nguvu kutoka kwa majirani zako.+ Naam, umenisahau kabisa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.