Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+

      Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+

      Hawawatendei kwa haki mayatima,

      Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki