Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+ Kumbukumbu la Torati 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+
8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+
25 “‘Amelaaniwa mtu anayekubali rushwa ili amuue mtu asiye na hatia.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+