Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova atawahukumu wazee na wakuu wa watu wake.

      “Mmeliteketeza kabisa shamba la mizabibu,

      Na vitu mlivyowaibia maskini vimo ndani ya nyumba zenu.+

  • Mika 3:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo

      Nanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+

      Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+

      10 Mnaojenga Sayuni kwa umwagaji wa damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa uadilifu.+

      11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+

      Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+

      Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+

      Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema:

      “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+

      Hakuna msiba utakaotupata.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki