-
Mika 3:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo
Nanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+
Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+
10 Mnaojenga Sayuni kwa umwagaji wa damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa uadilifu.+
Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema:
“Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+
Hakuna msiba utakaotupata.”+
-