Isaya 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:14 ip-1 58 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:14 Unabii wa Isaya 1, uku. 58
14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+