Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika mwaka wa pili tangu walipofika kwenye nyumba ya Mungu wa kweli huko Yerusalemu, katika mwezi wa pili, Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yeshua mwana wa Yehosadaki na ndugu zao wote, makuhani na Walawi, na wale wote waliorudi Yerusalemu kutoka utekwani+ wakaanza kazi; wakawaweka rasmi Walawi kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi wawe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova.

  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakaanza kujenga upya nyumba ya Mungu,+ iliyokuwa Yerusalemu; na manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao na waliwatia moyo.+

  • Hagai 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Yehova akaichochea roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda,+ na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu, na roho ya watu wengine wote; nao wakaja na kuanza kujenga nyumba ya Yehova wa majeshi, Mungu wao.+

  • Zekaria 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akanionyesha kuhani mkuu Yoshua+ akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, na Shetani+ alikuwa amesimama kwenye mkono wa kulia wa Yoshua ili kumpinga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki