Zaburi 68:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mungu anaogopesha kutoka katika mahali pake patakatifu penye utukufu.+ Yeye ni Mungu wa Israeli,Anayewapa watu uwezo na nguvu.+ Asifiwe Mungu. Zaburi 138:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku niliyokuita, ulinijibu;+Ulinifanya niwe jasiri* na mwenye nguvu.+ Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
35 Mungu anaogopesha kutoka katika mahali pake patakatifu penye utukufu.+ Yeye ni Mungu wa Israeli,Anayewapa watu uwezo na nguvu.+ Asifiwe Mungu.
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’