Nehemia 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Waarabu,+ Waamoni, na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu inasonga mbele na kwamba mianya ilikuwa ikizibwa, wakakasirika sana. Zaburi 129:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wataaibishwa na kukimbia kwa fedheha,Wale wote wanaolichukia Sayuni.+
7 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Waarabu,+ Waamoni, na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu inasonga mbele na kwamba mianya ilikuwa ikizibwa, wakakasirika sana.