15 Mwishowe ukuta ulikamilishwa katika siku ya 25 ya mwezi wa Eluli, kwa muda wa siku 52.
16 Mara tu maadui wetu wote waliposikia habari hiyo na mataifa yote jirani yalipoona jambo hilo, wakaaibika sana,+ nao wakatambua kwamba kazi hii ilikuwa imefanywa kwa msaada wa Mungu wetu.