Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+

  • Nehemia 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yoyada mwana wa Pasea na Meshulamu mwana wa Besodeya wakarekebisha Lango la Jiji la Kale;+ walilitengeneza kwa mbao, wakaweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake.

  • Nehemia 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ walirekebisha Lango la Bondeni;+ wakalijenga na kuweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake, pia walirekebisha sehemu ya ukuta yenye urefu wa mikono 1,000* mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki