Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+

  • Mambo ya Walawi 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Hata hivyo, siku ya kumi ya mwezi huo wa saba ni Siku ya Kufunika Dhambi.+ Mtakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mnapaswa kujitesa*+ na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto.

  • 1 Wafalme 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele ya Mfalme Sulemani wakati wa sherehe* katika mwezi wa Ethanimu,* yaani, mwezi wa saba.+

  • Ezra 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwezi wa saba+ ulipofika Waisraeli* walikuwa katika majiji yao; wakakusanyika Yerusalemu wakiwa na kusudi moja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki